Kikao cha kamati ya utendaji Taifa November 2023

  • Category: Taarifa
  • Published: Tuesday, 24 October 2023 10:09
  • Written by bitta magesa rusweka
  • Hits: 303

Chama cha Wafanyakazi Madaktari na Wafamasia Tanzania (TMDPWU), kinapenda kuwajulisha wajumbe wa kamati tendaji ya chama kuhudhuria kikao cha tatu cha mwaka cha kamati tendaji ya Chama tarehe 04/11/2023 katika ofisi za chama zilizopo Posta Jengo la Phoenix floor ya 2 Mjini Dar es salaam kuanzia saa 4:00 Asubui.

Aidha Chama kinakuomba kudhibitisha ushiriki wako kabla ya tarehe 01/11/2023.

 Chama kitarejesha gharama za usafiri wa barabara na posho ya kikao.

Natanguliza shukrani

Mr.Bitta magesa Rusweka

Kny:Katibu Mkuu

 

 

Mawasiliano

Tanzania Medical, Dental and Pharmaceutical Workers Union (TMDPWU) 
Post - Azikiwe/Jamhuri St Phoenix House 2nd Floor
P.O.Box 65498
+255 787 941 606 | +255 713 910 324  
This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.


Copyright © Tanzania Medical, Dental and Pharmaceutical Workers Union.. All Rights Reserved. Designed by microsafi.com