Kikao cha kamati ya utendaji Taifa November 2023
- Category: Taarifa
- Published: Tuesday, 24 October 2023 10:09
- Written by bitta magesa rusweka
- Hits: 303
Chama cha Wafanyakazi Madaktari na Wafamasia Tanzania (TMDPWU), kinapenda kuwajulisha wajumbe wa kamati tendaji ya chama kuhudhuria kikao cha tatu cha mwaka cha kamati tendaji ya Chama tarehe 04/11/2023 katika ofisi za chama zilizopo Posta Jengo la Phoenix floor ya 2 Mjini Dar es salaam kuanzia saa 4:00 Asubui.
Aidha Chama kinakuomba kudhibitisha ushiriki wako kabla ya tarehe 01/11/2023.
Chama kitarejesha gharama za usafiri wa barabara na posho ya kikao.
Natanguliza shukrani
Mr.Bitta magesa Rusweka
Kny:Katibu Mkuu
