Mei Mosi 2023

/
PREVImage
NEXTImage

Viongozi wa Chama


Karibu katika Tovutia ya TMDPWU

Sisi ni Madaktari na wafamasia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tunalo jukumu kubwa la kuchangia kukua kwa uchumi wa nchi hii kwa kuzuia na kutibu magonjwa na vilevile kulinda afya za Watanzania wakiwemo viongozi wa nchi hii.

Jukumu letu linahitaji elimu, ujuzi, ufahamu, uadilifu, uvumilivu na upendo; na kwa kuwa daktari na mfamasia kama raia mwingine yeyote nchini wana haki ya kupata huduma bora za kijamii, kiuchumi na kimaslahi kama vile afya, chakula, malazi, usafiri na huduma nyingine za kijamii.

TMDPWU imeanzishwa kuhakikisha kuwa madaktari na wafamasia wote tunatekeleza wajibu wetu na kupata haki zote tunazostahili kutokana na kazi yetu tukiwa na kauli mbiu ya ‘Huduma bora za afya kwa wote’.

Jiunge Nasi

Washirika na Wadau wa TMDPWU


Machapisho ya Majarida & Ripoti


Matukio Yaliyojiri


Taarifa & Matangazo

Thumbnail   Matukio ya siku ya wanawake Duniani ambayo wanachama wanawake...
More inTaarifa  

Mawasiliano

Tanzania Medical, Dental and Pharmaceutical Workers Union (TMDPWU) 
Post - Azikiwe/Jamhuri St Phoenix House 2nd Floor
P.O.Box 65498
+255 787 941 606 | +255 713 910 324  
This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.


Copyright © Tanzania Medical, Dental and Pharmaceutical Workers Union.. All Rights Reserved. Designed by microsafi.com