Viongozi na Wajumbe wa kamati tendaji ya chama cha wafanyakazi madaktari...
Read moreSisi ni Madaktari na wafamasia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tunalo jukumu kubwa la kuchangia kukua kwa uchumi wa nchi hii kwa kuzuia na kutibu magonjwa na vilevile kulinda afya za Watanzania wakiwemo viongozi wa nchi hii.
Jukumu letu linahitaji elimu, ujuzi, ufahamu, uadilifu, uvumilivu na upendo; na kwa kuwa daktari na mfamasia kama raia mwingine yeyote nchini wana haki ya kupata huduma bora za kijamii, kiuchumi na kimaslahi kama vile afya, chakula, malazi, usafiri na huduma nyingine za kijamii.
TMDPWU imeanzishwa kuhakikisha kuwa madaktari na wafamasia wote tunatekeleza wajibu wetu na kupata haki zote tunazostahili kutokana na kazi yetu tukiwa na kauli mbiu ya ‘Huduma bora za afya kwa wote’.
Viongozi na Wajumbe wa kamati tendaji ya chama cha wafanyakazi madaktari...
Read more
Maazimisho ya SIku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi yatafanyika mkoa wa...
Read more
Katibu mkuu Dr. Siril A Harya aliyekaa upande wa kushoto na Naibu Katibu...
Read more
Mwenyekiti wa wanawake Taifa Dr.Anna Msafiri akichangia mada kuhusu kuwafikia...
Read more
Wanachama na wanawake wa chama cha wafanyakazi cha madaktari na wafamasia...
Read more
Matukio ya siku ya wanawake Duniani ambayo wanachama wanawake...