Viongozi wa chama Taifa waendelea na uhamasihaji hospitali ya rufaa mkoa Dodoma
- Category: Matukio
- Published: Wednesday, 25 October 2023 08:24
- Written by bitta magesa rusweka
- Hits: 468
Katibu mkuu Dr. Siril A Harya aliyekaa upande wa kushoto na Naibu Katibu Mkuu mwenye tsheti ya chama nyeusi Mfamasia Domminick J Mfoi kwenye picha ya pamoja na wanachama wapya wa tawi la Dodoma mara baada ya mkutano wa uhamasishaji.

