Tawi la TMDPWU Hospitali ya rufaa mkoa Morogoro na siku ya wanawake

  • Category: Matukio
  • Published: Tuesday, 12 March 2024 10:55
  • Written by bitta magesa rusweka
  • Hits: 485

Wanachama na wanawake wa chama cha wafanyakazi cha madaktari na wafamasia Tanzania tawi la hospitali ya rufaa mkoa wa morogoro wakiongzwa na Mwenyekiti wa wanawake Dr.Deodata Ruganuza ambaye ni Daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama sambamba na wanachama wengine wakiwa katika picha ya pamoja kuelekea siku ya wanawake Duniani.

Mawasiliano

Tanzania Medical, Dental and Pharmaceutical Workers Union (TMDPWU) 
Post - Azikiwe/Jamhuri St Phoenix House 2nd Floor
P.O.Box 65498
+255 787 941 606 | +255 713 910 324  
This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.


Copyright © Tanzania Medical, Dental and Pharmaceutical Workers Union.. All Rights Reserved. Designed by microsafi.com