Haki na Wajibu wa Mwanachama
Haki za mwanachama
Mwanachama yeyote isipokuwa mwanachama wa heshima na shirikishi,atakuwa na haki zifuatavyo;
- Kuwakilishwa naChama dhidi ya mwajiri wake au kujitetea yeye mwenyewe dhidi ya mwajiri huyo,akisimamiwa na chama,kwa kosa lolote linalohusu ajira.
- Kujitetea na kukata rufaa kwenye vyombo vya juu vya chama pale asiporidhika na uamuzi wa ngazi za chini.
- Kushiriki katika chaguzi mbalimbali za chama
- Kuchagua viongozi na/aukugombea uongozi
- Kuhoji na kufahamishwa kuhusu mapato na matumizi ya mali na fedha za Chama.
- Kuwa mdau wa mambo yote yanayokihusu chama ikiwemo rasilimali na vitega uchumi.
Wajibu wa Mwanachama
Kila mwanachama,isipokuwa wanachama wa heshima na shirikishi atakuwa na wajibu wa
- Kulipaadayakilamwezinamalipomaalumunakuhakikishaimewasilishwapanapohusika kwawakati unaotakiwa.
- Kuungamkononakusaidiakwavitendomaendeleoyachama
- KuzingatiaKatiba,kanuninataratibuzachamanakuheshimumaamuziyaliyotokanana kanuni autaratibuhizo.
- Kushirikikatikashughulizotezachamanamikutano.